Mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji Romelu Lukaku amejiunga rasmi na mabingwa wa soka barani Ulaya klabu ya Chelsea kwa mkataba wa miaka mitano akitokea Inter Milan ya Italia.
Lukaku amerejea darajani kwa ada ya paundi milioni 97.5 baada ya miaka saba.
Straika huyo ameifungia Inter Milan mabao 64 katika michezo 95 na anakwenda Chelsea kufanya kazi moja ya kutupia mipira nyavuni na huenda ujio wake ukapelekea kuuzwa kwa straika Muingereza Tammy Abraham anayehusishwa kujiunga na As Roma ama Arsenal.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.