Home Soka Lukaku ndani ya Chelsea

Lukaku ndani ya Chelsea

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji Romelu Lukaku amejiunga rasmi na mabingwa wa soka barani Ulaya klabu ya Chelsea kwa mkataba wa miaka mitano akitokea Inter Milan ya Italia.

Lukaku amerejea darajani kwa ada ya paundi milioni 97.5 baada ya miaka saba.

Straika huyo ameifungia Inter Milan mabao 64 katika michezo 95 na anakwenda Chelsea kufanya kazi moja ya kutupia mipira nyavuni na huenda ujio wake ukapelekea kuuzwa kwa straika Muingereza Tammy Abraham anayehusishwa kujiunga na As Roma ama Arsenal.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited