Home Soka Lusajo Aiweka Njia Panda Namungo

Lusajo Aiweka Njia Panda Namungo

by Dennis Msotwa
0 comments

Nahodha  wa Namungo Reliant Lusajo ameiweka njia panda klabu yake ya Namungo Fc baada ya kugoma kusaini mkataba mpya huku akitoa masharti ya kutimizwa.

Klabu hiyo ilifanya mazungumzo na meneja wa mchezaji huyo lakini walishindwa kufikia muafaka hivyo kuleta sintofahamu ukizingatia timu kama Yanga sc na Simba sc zinamnyemelea staa huyo mwenye mabao 11 ya ligi kuu.

Hata hivyo taarifa za ndani ya Namungo zinasema tayari kocha Hitimana Thierry ameshapata mbadala wa mshambuliaji huyo pamoja na Bigirimana Blaise kama wakiamua kuondoka mwishoni mwa msimu ambapo mikataba yao itakua inafikia mwishoni.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited