Home Soka Lusajo Asimamishwa Kmc

Lusajo Asimamishwa Kmc

by Sports Leo
0 comments

Uongozi  wa klabu ya KMC umemsimamisha kwenye timu straika Reliants Lusajo kwa sababu ya utovu wa nidhamu aliouonyesha nyakati tofauti tofauti tangu ajiunge na klabu hiyo akitokea Namungo Fc.

Inadaiwa Lusajo hana furaha ndani ya klabu ya KMC, huku taarifa zikienea kuwa ana mpango wa kurejea katika klabu yake ya zamani ya Namungo.

Hata hivyo mshambuliaji huyo amekua na kiwango kisichoridhisha tangu ajiunge na klabu hiyo akitokea namungo ambako alikua na wastani mzuri wa kufunga mabao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited