Home Soka Lwandamina Kuirudisha Azam Fc

Lwandamina Kuirudisha Azam Fc

by Sports Leo
0 comments

Kocha mpya wa klabu ya Azam Fc George Lwandamina amesema atairudisha klabu hiyo katika mbio za ligi kuu baada ya kupotea kutokana na kupata matokeo mabovu.

Kocha huyo aliyejiunga na timu hiyo wiki hii baada ya kutimuliwa kwa kocha Aristica Cioaba kutokana na kupata matokeo yasiyoridhisha pamoja na mwenendo mbaya wa timu kwa ujumla wake.

“Nilikuwa naiangalia Azam walianza vyema ligi lakini baadaye hari ikapungua na kuanza kuanguka ndio nafasi mimi nipo hapa kazi yangu kubwa itakuwa kurekebisha hilo na tuirudishe timu katika mstari.” Alisema Lwadamina ambaye ni kocha wa zamani wa klabu ya Yanga sc na Zesco United ya nchini Zambia.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited