Home Soka Lwanga Mambo Safi Msimbazi

Lwanga Mambo Safi Msimbazi

by Sports Leo
0 comments

Kocha mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema tayari amejulishwa na viongozi wa klabu hiyo kwamba  kila kitu juu ya Lwanga kimekamilika.

Kocha huyo amesema kutokana na taarifa hizo ndio maana walisafiri naye kwenye mechi dhidi ya FC Platinum na kwamba alishindwa kumtumia kwa vile alipatwa na mafua na kumpumzisha na hata katika mechi yao ya Ligi dhidi ya Ihefu hakumtumia, ila amesema;

“Kama hali yake itakuwa sawa na atafanya mazoezi vizuri nimepanga kuanza kumtumia katika mchezo wa marudiano dhidi ya Platinum”
.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited