Home Soka Madaktari Kuamua Hatma ya Balama

Madaktari Kuamua Hatma ya Balama

by Sports Leo
0 comments

Kiungo Mshambuliaji Balama Mapinduzi amekamilisha awamu ya kwanza ya matibabu baada ya kukamilisha vipimo sasa jopo la madaktari litaamua namna ya matibabu yake kuanzia kesho

Awamu ya kwanza ilikuwa ni vipimo vya aina tatu , ambavyo vimekamilika , kinachofuata sasa ni Madaktari kuona matibabu gani yanafaa kwa Balama baada ya kujiridhisha na majibu ya vipimo , ” amesema Afisa Habari wa Yanga , Hassan Bumbuli

Amesema vipimo vyote vimekamilika na madaktari wamegundua kwamba mfupa uliunga vibaya hali ambayo ilikuwa ikisababisha maumivu kwenye mguu akifanya mazoezi.

banner

Balama aliumia mazoezini wakati klabu yake ikijiandaa na mazoezi kujiandaa na mchezo dhidi ya Simba sc katika uwanja wa chuo cha Sheria jijini Dar es salaam.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited