Home Soka Makambo Huyoo Yanga sc

Makambo Huyoo Yanga sc

by Dennis Msotwa
0 comments

Kocha mkuu wa klabu ya Horoya AC Lamine Ndiaye, amependekeza klabu hiyo imuache Heritier Makambo au atolewe kwa mkopo ili kukirejesha kiwango chake baada ya kukosa nafasi kikosini.

Makambo akiwa Horoya AC msimu huu amefanikiwa kufunga magoli (2) pekee Amekuwa hapati nafasi kikosini na akipata hachezeshwi dakika nyingi.

Inadaiwa klabu ya Yanga sc ipo mbioni kumrejesha makambo ikihofia mastraika wengine watapata tabu ya kuzoea mazingira kama ilivyotokea kwa Michael Sarpong na Carlos Carlinhos.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited