Home Soka Makusu Kutua Orlando Pirates

Makusu Kutua Orlando Pirates

by Sports Leo
0 comments

Taarifa kutoka nchini Kongo zinasema kwamba mshambuliaji hatari wa klabu ya As Vita Jean Makusu yupo njiani kutua katika klabu ya Orlando Pirates ya nchini Afrika ya kusini kwa mkopo wa msimu mmoja.

Inaelezwa kuwa mshambuliaji huyo atawekewa na kipengele cha kununuliwa jumla na klabu hiyo kwa msimu ujao wa ligi kuu nchini humo.

Mshambuliaji huyo staa wa Vita amefunga jumla ya mabao 60 katika klabu hiyo na hivi karibuni amerejea baada ya kutoka majeruhi ya muda mrefu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited