Home Soka Man City Yatwaa Epl,Wababe Watinga Uefa

Man City Yatwaa Epl,Wababe Watinga Uefa

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Manchester City wametwaa ubingwa wa ligi kuu nchini Uingereza kwa mara ya saba huku ikitwaa taji hilo mara tatu ndani ya miaka mitano chini ya kocha Pep Guadiola.

Licha ushindi wa klabu ya Manchester City ambao walijihakikishia muda mrefu,mchuano mkubwa ulikua katika nafasi za kufuzu hatua ya michuano ya klabu bingwa barani ulaya ambapo ManUtd,Chelsea,Liverpool,Tottenham Fc na Leicester City walikua wanawania nafasi nne zilizobaki ili kufuzu michuano hiyo mikubwa barani ulaya.

Baada ya mechi ya mwisho za ligi kuu hapo jana sasa ni rasmi Chelsea imeungana na Man Utd,Liverpool,Man City kufuzu michuano hiyo huku Tottenham na Leicester City zikifuzu michuano ya Europa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited