Home Soka Man Utd Haishikiki

Man Utd Haishikiki

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Manchester United imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Westham United katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza uliofanyika katika uwanja wa London Stadium.

Thomas Soucek alipeleka kilio kwa Man United dakika la dakika la 38 ya mchezo lakini kipindi cha pili kilikua kizuri kwa Man United baada ya kupata mabaoa matatu ya haraka kupitia kwa Paul Pogba dakika ya 65,Mason Greenwood dakika ya 68 na Marcus Rashford dakika ya 78.

Man united imepanda mpaka nafasi ya nne ya msimamo ikiwa na alama 19 huku vinara Chelsea wakiwa kileleni kwa alama 22.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited