Home Soka Man Utd Yapigwa

Man Utd Yapigwa

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Manchester United imeshindwa kuibuka na ushindi katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza baada ya kufungwa mabao 2-1 na Shelfield United katika uwanja wa Old Trafford nchini Uingereza.

Mabao ya Kean Bryan dakika ya 23 na Oliver Burke dakika ya 74 yalitosha kuipa ushindi Shelfied United licha Harry Maguire kusawazisha dakika ya 64 lakini makini mdogo ukisababisha Shelfied kupata bao la pili.

Matokeo hayo yanaifanya Man United kubaki nafasi ya pili na alama 40 huku Man City wakiwa kileleni na alama 41 huku wakiwa na mchezo mmoja mkononi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited