Home Soka Manula Anukia El Merrekh

Manula Anukia El Merrekh

by Sports Leo
0 comments

Taarifa kutoka nchini Sudan zinadai kocha mkuu wa klabu ya El Merrekh amemuomba tajiri wa klabu hiyo kumsajili golikipa wa klabu ya Simba sc Aishi Manula.

Kocha huyo amevutiwa na uwezo wa kipa huyo tegemea nchini pamoja na timu ya Taifa ya Tanzania kutokana na uhodari wake wa kuokoa michomo uliosaidia kuifanya klabu ya Simba sc kuongoza kundi lake katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika hali iliyomfanya kutoruhusu goli mpaka sasa.

Inadaiwa klabu hiyo inajiandaa kutoka kiasi cha dola laki moja kama ofa ya awali kwa klabu ya Simba sc ili kumnasa kipa huyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited