Home Soka Maproo Simba,Yanga Kutua Ihefu

Maproo Simba,Yanga Kutua Ihefu

by Sports Leo
0 comments

Katika kuhakikisha inaboresha kikosi chake wakati huu wa dirisha dogo, Ihefu SC imeanza harakati za usajili pamoja na kupeleka maombi kwenye vilabu kadhaa kupata wachezaji kwa mkopo.

Klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu kwa mara ya kwanza imelenga kuwasajili mastaa ambao hawapati nafasi katika timu za Kariakoo hasa Juma Mahadhi kutoka Yanga,Miraji Athumani,Ibrahim Ame na Charles Ilanfya kutoka Simba sc  huku ikifanikiwa kumsajili Deo Munishi kama mchezaji huru.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited