Home Soka Mastaa Chelsea Kukatwa Mshahara

Mastaa Chelsea Kukatwa Mshahara

by Sports Leo
0 comments

Wachezaji wa klabu ya Chelsea kwa pamoja wamekubali kukatawa asilimia 10 ya mshahara kuanzia mwezi mpaka mwezi Septemba kama njia ya kusaidia klabu kupambana na mdororo wa mapato kutokana na Virusi vya Corona.

Mastaa hao kwa pamoja walifikia muafaka huo baada ya kuwasiliana kupitia mtandao wa Whatsup wa wachezaji hao ambapo waliongozwa na nahodha Cezar Azpilicueta kupitisha wazo hilo.

Chelsea inakua timu ya kwanza kupitisha mfumo huo ambao upo tofauti na Arsenal watakaokatwa asilimia 12.5 lakini zitakuja kufidishiwa kama bonansi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited