Home Soka Mastaa Wapya Kutua Yanga

Mastaa Wapya Kutua Yanga

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc itaanza kupokea mastaa wapya kwa ajili ya msimu kuanzia kesho jumatatu baada ya ligi kuu kumalizika rasmi hii leo.

Mastaa hao wanaokuja kusaini mikataba ya kukipiga klabuni hapo wataanza kuwasili nchini kwa ushirikiano mkubwa kati ya kamati ya usajili ya klabu hiyo pamoja na kampuni ya Gsm iliyojitolea kuisaidia klabu hiyo ambayo ni mabingwa wa kihistoria nchini.

Sogne Yacouba ni moja ya mastaa wanaotajwa kuwasili nchini akitokea nchini Ghana baada ya kumaliza mkataba na klabu ya Asante Katoko aliyokua akiichezea na sasa ni suala muda tu kabla ya kuja kukipiga jangwani.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited