Home Soka Mo Apewa Shavu Afrika Kusini

Mo Apewa Shavu Afrika Kusini

by Dennis Msotwa
0 comments

Tajiri wa klabu ya Simba sc Mohamed Dewji amechagulia kuwa mshauri wa masuala ya uchumi na uwekezaji wa Rais wa Afrika ya Kusini Cyril Ramaphosa ambapo atatumikia nafasi hiyo kwa kipindi cha miaka mitano.

Rais huyo amelazimika kumteua mfanyabiashara na bilionea huyo kijana nchini kutokana na mafanikio yake ya kuikuza chapa ya kampuni ya Metl pamoja na kupanua wigo wa biashara wa makampuni hayo kimtaifa.

Mo dewji ametajwa na jarida la kimataifa la Forbes kama tajiri kijana huku akiwa tajiri wa 13 katika matajiri 18 waliopo barani Afrika.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited