Home Soka Morrison Kuwakosa Kagera

Morrison Kuwakosa Kagera

by Sports Leo
0 comments

Kiungo Mshambuliaji wa Simba SC Benard Morrison ataukosa mchezo wa kesho wa ligi kuu Vodacom Tanzania Bara (VPL) ambapo Simba itawakabili Kagera Sugar mchezo utakaopigwa katika dimba la Kaitaba mkoani Kagera, Morrison atakosa mchezo huo kutokana na kuwa na kadi tatu (3) za njano.

Hata hivyo mchezaji huyo yupo kwenye hatihati ya kufungiwa na shirikisho la soka nchini Tff baada ya kipande cha video kuonyesha kuwa alimbugudhi mwamuzi wa pembeni katika mchezo dhidi ya Simba sc na Mwadui katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited