Home Soka Mpasuko Barcelona

Mpasuko Barcelona

by Sports Leo
0 comments

Kuna mpasuko mkubwa katika klabu ya Barcelona fc baada ya wajumbe sita wa bodi ya wakurugenzi kujiuzuru ndani ya muda mfupi huku wakikosoa uongozi wa Rais wa klabu hiyo Josep Maria Bartomeu.

Emili Rousaud na Enrique Tombas  ambao ni kati ya makamu wa Rais wanne wa klabu hiyo wamejiuzuru sambamba na madarkta wanne wa klabu hiyo  Silvio Elias, Josep Pont, Jordi Calsamiglia na Maria Teixidor.

Inadaiwa vigogo hao wamechukizwa baada ya kugundua klabu ilishirikiana na mtandao wa kijamii wa unaoitwa Barcagate ambao uliwashambulia wachezaji wa klabu hiyo pia janga la corona pamoja na uchaguzi mkuu wa klabu hiyo vikitajwa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited