Klabu ya Namungo Fc imesafiri alfajiri ya leo kuelekea nchini Zambia kuivaa klabu ya Nkana Fc katika mchezo wa marudiano hatua ya makundi utakaofanyika nchini humo.
Katika mchezo wa awali uliofanyika nchini Tanzania Namungo ilikubali kichapo cha 1-0 huku wakibaki katika nafasi ya nne katika msimamo wa kundi D huku Nkana wakiwa nafasi ya tatu chini ya Raja Casablanca na Pyramids Fc zote ziliifunga Namungo Fc.
Hemmed Moroco ambaye ni kocha wa Namungo Fc amesema kwamba matokeo hayo ni sababu ya kutokua na uzoefu pamoja na kutotumia nafasi vizuri.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.