Home Soka Namungo Waifuata Nkana Kibabe

Namungo Waifuata Nkana Kibabe

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Namungo Fc imesafiri alfajiri ya leo kuelekea nchini Zambia kuivaa klabu ya Nkana Fc katika mchezo wa marudiano hatua ya makundi utakaofanyika nchini humo.

Katika mchezo wa awali uliofanyika nchini Tanzania Namungo ilikubali kichapo cha 1-0 huku wakibaki katika nafasi ya nne katika msimamo wa kundi D huku Nkana wakiwa nafasi ya tatu chini ya Raja Casablanca na Pyramids Fc zote ziliifunga Namungo Fc.

Hemmed Moroco ambaye ni kocha wa Namungo Fc amesema kwamba matokeo hayo ni sababu ya kutokua na uzoefu pamoja na kutotumia nafasi vizuri.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited