Home Soka Ngassa,Sibomana Wakalia Kuti Kavu Yanga sc

Ngassa,Sibomana Wakalia Kuti Kavu Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Mawinga wawili wa kkabu ya Yanga Mrisho Ngassa na Patrick Sibomana wamekalia kuti kavu katika klabu hiyo kufuatia ripoti ya kocha Luc Eyamael kuhitaji watemwe ili kuleta mbadala wao.

Mbali na mawinga hao pia ripoti ya kocha huyo imeonyesha pia kiungo Rafael Daud na Juma Mahadhi nao watemwe sambamba na mabeki Ally Ally na Adeyum Salehe huku kipa Farouk Shikhalo akitakiwa kukaza kamba katika mwaka wake mmoja uliobaki katika mkataba wake.

Kocha huyo anahitaji kusajili wachezaji  wapya hasa wa safu ya ushambuliaji baada ya David Molinga na Yikpe Gnamien kushindwa kuonyesha uwezo hivyo watatemwa kupisha maingizo mapya.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited