Home Soka Niyonzima Anusurika Ajali

Niyonzima Anusurika Ajali

by Sports Leo
0 comments

Kiungo maestro wa klabu ya Yanga sc Haruna Niyonzima amenusurika katika ajali ya gari iliyosababishwa na Roli nchini Rwanda.

Niyonzima alikua pamoja na familia yake akitoka katika kambi ya timu ya taifa ya Rwanda kabla ya kufika njiani ndipo alipata ajali hiyo ambayo haikusababisha madhara kwake na wanafamilia isipokua gari ambayo imeharibika.

Kiungo huyo alikua katika majukumu ya klabu yake kuwania kufuzu michuano ya Afcon ambapo walikuwa na michezo dhidi ya Cameroon walipoteza kwa bao 1-0

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited