Nusu fainali ya kombe la mapinduzi Cup inatarajiwa kuendelea leo kati ya Yanga sc dhidi ya Azam Fc huku Simba sc ikiikaribisha Namungo Fc.
Mchezo kati ya Yanga sc dhidi ya Azam fc utafanyika mchana wa leo saa kumi jioni huku Simba sc dhidi ya Namungo utafanyika saa mbili na robo usiku huku michezo yote ikifanyika katika uwanja wa Amani visiwani Zanzibar.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.