Home Soka Okwi Anarejea Msimbazi

Okwi Anarejea Msimbazi

by Dennis Msotwa
0 comments

Taarifa kutoka ndani ya klabu ya Simba sc zinadai kuwa mshambuliaji Emmanuel Okwi yupo mbioni kurejea klabuni hapo baada ya kuvunja mkataba na waajiri wake timu ya Alexandria inayoshiriki ligi kuu nchini Misri.

Taarifa hizo nyeti zinadai kuwa Bilionea wa klabu ya Simba sc Mohamed Dewji “Mo” ndie aliyeshawishi kufanikisha dili hilo ili kuunda pacha hatari na straika Meddie Kagere.

Okwi aliondoka msimbazi msimu ulioisha ambapo alijiunga na klabu hiyo ya nchini Misri lakini amekua akikosa nafasi mara kwa mara.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited