Home Soka Pogba Hana Raha United

Pogba Hana Raha United

by Sports Leo
0 comments

Hatimaye kiungo wa Manchester United Paul Labile Pogba amesema hafurahishwi na maisha yanayoendelea kwenye klabu ya Manchester ya kupewa nafasi ndogo hivyo huenda akaamua kuondoka kwenye klabu hiyo kutokana na kupitia wakati mugumu zaidi kwenye maisha yake ya soka kuliko wakati mwingine wowote.

Pogba licha ya kusema hivyo tayari ameonyesha dalili zote za kutoridhika na maisha ndani ya timu hiyo huku akidaiwa yupo tayari kujiunga na Real Madrid ama kwenda nchini Italia kunako klabu yake ya zamani Juventus.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited