Home Soka PSG Yashinda,Neymar Akila Umeme

PSG Yashinda,Neymar Akila Umeme

by Dennis Msotwa
0 comments

Licha ya kutanguliwa kufungwa bao moja timu ya Paris St.German ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-3 dhidi ya Bourdeaux katika mchezo wa ligi kuu nchini Ufaransa(Ligue 1).

mchezo ulimalizika kwa jumla ya magoli saba kufungwa na kuacha swali kwa kocha wa PSG kuhusu uwezo wa timu yake kuzuia.

Edson Cavan aliifungia PSG bao la 200 akisawazisha bao la Hwang Ui-jo huku Marquinhos aliyeingia kuchukua nafasi ya Thiago Silva aliyeumia dakika ya 25 akifunga mabao mawili na Kylian Mbappe akimalizia goli la nne.

banner

Neymar alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Yacine Adli na mwamuzi kumuonyesha staa huyo kadi nyekundu.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited