Licha ya kutanguliwa kufungwa bao moja timu ya Paris St.German ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-3 dhidi ya Bourdeaux katika mchezo wa ligi kuu nchini Ufaransa(Ligue 1).
mchezo ulimalizika kwa jumla ya magoli saba kufungwa na kuacha swali kwa kocha wa PSG kuhusu uwezo wa timu yake kuzuia.
Edson Cavan aliifungia PSG bao la 200 akisawazisha bao la Hwang Ui-jo huku Marquinhos aliyeingia kuchukua nafasi ya Thiago Silva aliyeumia dakika ya 25 akifunga mabao mawili na Kylian Mbappe akimalizia goli la nne.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Neymar alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Yacine Adli na mwamuzi kumuonyesha staa huyo kadi nyekundu.