Home Soka Samatta Afunga Ndoa

Samatta Afunga Ndoa

by Sports Leo
0 comments

Staa wa Taifa stars na klabu ya Krc Genk ya nchini Ubeligiji Mbwana Samatta amefunga pingu za maisha na mwanamke aitwaye Neima Mgange ndoa iliyofungwa usiku huu eneo la kijichi nyumbani kwa bibi harusi.

Shangwe na vigelegele vilitawala mtaani hapo baada ya taarifa za Samatta kufunga ndoa na mwanadada huyo kusambaa na umati wa watu kufurika kumuona staa huyo aliyeambatana na ndugu,jamaa na marafiki wakiwemo mastaa Himid Mao na Thomas Ulimwengu.

 

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited