Home Soka Senzo Kimataifa Zaidi

Senzo Kimataifa Zaidi

by Sports Leo
0 comments

Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Senzo Mazingisa ni mmoja wa vigogo kadhaa wa soka watakaokuwa wazungumzaji katika Kongamano la Mpira wa Miguu la Dunia (WFS) linalotarajiwa kufanyika Durban, Afrika Kusini Machi 17 na 18.

Wazungumzaji wengine ni katibu mkuu wa FIFA, Fatma Samoura; Rais wa LaLiga, Javier Tebas; Rais wa Shirikisho la Soka Afrika Kusini (SAFA), Danny Jordaan na Rais wa Shirikisho la Soka la Sierra Leone, Isha Johansen.

Cc:Viwanjanileo

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited