Home Soka Shoo Ya Haaland Yamshinda Neymar

Shoo Ya Haaland Yamshinda Neymar

by Sports Leo
0 comments

Kinda wa klabu ya Borrusia Dortmund Eerlin Haaland amezidi kuonyesha ukomavu baada ya kuisadia Dortmund kuifunga Paris St.German katika mchezo wa michuano ya klabu bingwa barani ulaya uliofanyika katika uwanja wa Signal Iduna Park.

Kinda huyo aliyekua akicheza mchezo wake wa kwanza wa klabu bingwa ulaya akiwa na timu hiyo alifunga mabao dakika za 66′ na 77′ huku bao la Psg likifungwa na Neymar dakika ya 75′.

Magoli hayo yamemfanya Haaland kuingia katika rekodi za UEFA baada ya kuwa kinda wa kwanza kufikisha mabao 10 katika michuano hiyo huku akiwa amecheza mechi 7 pekee.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited