Klabu ya wanawake ya Simba queens imekamilisha usaijili wa mshambuliaji Aisha Juma ambaye msimu uliopita wa 2020/21 alikuwa anakipiga ndani ya timu ya Alliance Girls ambapo amedumu kwa zaidi ya misimu miwili.
Mshambuliaji huyo amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumika timu hiyo ambao ni mabingwa wa ligi kuu ya wanawake kwa misimu miwili mfululizo sasa.
Msimu uliopita nyota huyo kwa mujibu wa rekodi za soka la wanawake mshambuliaji huyo machachari alitupia mabao 27.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.