Home Soka Simba Queens Wasajili Straika

Simba Queens Wasajili Straika

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya wanawake ya Simba queens imekamilisha usaijili wa mshambuliaji Aisha Juma  ambaye  msimu uliopita wa 2020/21 alikuwa anakipiga ndani ya timu ya Alliance Girls ambapo amedumu kwa zaidi ya misimu miwili.

Mshambuliaji huyo amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumika timu hiyo ambao ni mabingwa wa ligi kuu ya wanawake kwa misimu miwili mfululizo sasa.

Msimu uliopita nyota huyo kwa mujibu wa rekodi za soka la wanawake mshambuliaji huyo machachari  alitupia mabao 27.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited