Home Soka Simba sc Wakubali Kichapo Zimbabwe

Simba sc Wakubali Kichapo Zimbabwe

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya Simba sc imekubali kipigo cha 1-0 kutoka kwa Fc Platnum ya nchini Zimbabwe katika mchezo wa mtoano ligi ya mabingwa barani Afrika uliofanyika katika uwanja wa taifa wa Harare nchini Zimbabwe.

Perfect Chikwande aliwazidi kasi mabeki wa Simba sc Pascal Wawa na Joash Onyango na kufunga bao dakika ya 17 lililodumu mpaka mwisho wa mchezo na kufanya sasa Simba sc kusubiri mchezo wa hatua ya Marudiano jijini Dar es salaam.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited