Home Soka Simba sc Yapigwa Afrika Kusini

Simba sc Yapigwa Afrika Kusini

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Simba sc imeruhusu kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa Kaizer Chiefs Fc katika mchezo wa robo fainali ya klabu bingwa barani Afrika uliofanyika katika uwanja wa Fnb stadium jijini Johanersburg nchini humo.

Simba sc iliruhusu bao la mapema dakika ya sita ya mchezo lililofungwa na Erick Mathoho kwa kichwa akimalizia mpira wa kona huku Samir Nurkovic akifunga pia dakika za 34 na 57 kwa kichwa na msumari wa mwisho ukifungwa na Leonardo Castro dakika ya 63 amabao yaliyodumu mpaka mwisho wa mchezo.

Simba sc sasa watakua na kibarua kigumu cha kusawazisha matokeo hayo wikiendi ijayo watakaporudiana jijinin Dar es salaam.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited