Mshambuliaji wa Tottenham Hotspurs Mkorea Heung-Min Son ametia saini mkataba wa kuemdelea kuitumikia timu hiyo hadi mwaka 2026.
Son alijiunga na Spurs mwaka 2015 akitokea Bayer Leverkusen ya Ujerumani,amesaini mkataba huo mara baada ya kushawishika na mradi wa kisoka wa timu hiyo na mkurugenzi wa klabu hiyo Fabio Paraticci.
Awali kulikuwa na hofu kwa mchezaji huyo kubaki hasa baada ya kuhusishwa kuondoka kwa mshambuliaji na nahodha wa timu hiyo Harry Kane.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Mchezaji huyo ameichezea Spurs michezo 197 ya ligi na kufunga magoli 70.