Mchezo baina ya Timu ya Taifa ya Tanzania dhidi ya timu ya Taifa ya Madagascar utakaofanyika kesho septemba 7 utachezwa bila mashabiki ikiwa ni tahadhari dhidi ya maambukizi ya Uviko 19 kwa mujibu wa shirikisho la soka barani Afrika (Caf).
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Septemba 7, Uwanja wa Mkapa majira ya saa 10:00 jioni huku Michuano ya Kombe la Dunia inatarajiwa kufanyika nchini Qatar 2022. Stars itashuka uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya DR Congo kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa TP Mazembe.
Katika mchezo huo Stars inahitaji ushindi ili kujiweka sawa katika msimamo wa kundi lake ambapo ilifanikiwa kutoa sare dhidi ya Drc na sasa niz amu ya Magascar katika ardhi ya nyumbani tena ikiwa bila mashabiki.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.