Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la Ufukweni imefuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) baada ya ushindi wa jumla wa mabao 12-9 dhidi ya Burundi katika michezo yote iliyochezwa katika fukwe za Coco Dar es salaam.
Licha ya leo Tanzania kufungwa mabao 6-4 katika mchezo wa marudiano lakini ushindi wa mabao 8-3 katika mchezo wa kwanza umewabeba Tanzania.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.