Home Soka Tariq,Mo Banka Kuwavaa Prisons

Tariq,Mo Banka Kuwavaa Prisons

by Sports Leo
0 comments

Wachezaji Mohamed Issa Banka na Tariq Seif Kiakala wameanza katika kikosi cha kwanza cha Timu ya Yanga kitakachowavaa Prisons mchezo wa ligi kuu Tanzania bara.

Kikosi hicho kilichtolewa na mitandao kijamii ya klabu ya Yanga kimeonyesa pia kipa Farouk Shikhalo anakaa langoni baada ya kuwa benchi kwa mechi sita mfululizo huku Juma Abdul akiwa bado anaendeleza ubabe wa beki ya kulia.

Adeyun Salehe amerejea kucheza beki ya kushoto huku Lamine Moro na Ally Mtoni wakikamilisha ukuta na Papy Tshitshimbi,Mapinduzi Balama na Banka ndio watakaomiliki safu ya kiungo.

banner

Tariq Seif na Yikpe Gislain watakaongoza mashambulizi wakisaidiwa na Bernard Morrisons.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited