Home Soka TFF Yamfungulia Mwakalebela

TFF Yamfungulia Mwakalebela

by Sports Leo
0 comments

Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga sc David Mwakalebela amefutiwa adhabu ya kutyojihusisha na soka kwa muda wa miaka mitano iliyokuwa amepewa na shirikisho la soka nchini(TFF).

Adhabu hiyo imefutwa mapema leo baada ya kamati ya maadili ya shirikisho hilo kukutana na kufanya marejeo ya hukumu hiyo na hatimaye kuamua kumfutia adhabu hiyo baada ya Mwakalebela kukiri makosa hayo.

Barua iliyotolewa na shirikisho hilo inasomeka kama ifuatavyo;

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited