Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga sc David Mwakalebela amefutiwa adhabu ya kutyojihusisha na soka kwa muda wa miaka mitano iliyokuwa amepewa na shirikisho la soka nchini(TFF).
Adhabu hiyo imefutwa mapema leo baada ya kamati ya maadili ya shirikisho hilo kukutana na kufanya marejeo ya hukumu hiyo na hatimaye kuamua kumfutia adhabu hiyo baada ya Mwakalebela kukiri makosa hayo.
Barua iliyotolewa na shirikisho hilo inasomeka kama ifuatavyo;
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.