Home Soka Tff Yashusha Rungu Waamuzi

Tff Yashusha Rungu Waamuzi

by Dennis Msotwa
0 comments

Waamuzi Elly Sasii, Sudi Lila na Mbaraka Haule wanafungiwa miezi mitatu kwa kosa la kutokuumudu mchezo uliochezwa Juni 21, 2020 katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

Mechi hiyo namba 300 iliyowakutanisha  Young Africans SC Vs Azam FC  ambayo iliisha suluhu huku mwamuzi akikataa mabao mawili ya wazi ya Azam fc pamoja na penati ya klabu ya Yanga makosa yaliyoifanya Tff kutoa Adhabu hii kulingana na uzingativu wa kanuni ya 39(1) kuhusu udhibiti wa waamuzi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited