Uongozi wa klabu ya Toto Africans inayoshiriki Ligi Daraja la Pili umetuma maombi kwenda Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ukidai haki baada ya kueleza kuwa wamefanyiwa hujuma na wapinzani wao Kasulu Red Stars kutokana na kuwachezesha ‘mamluki’ katika mechi ya mwisho ya ligi hiyo.
Toto inapambana ili kurudi ligi daraja la kwanza na hatimaye kurudi ligi kuu ambako ilijipatia umaarufu zaidi baada ya kuzikazia timu kubwa hasa Simba sc.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.