Home Soka Tp Mazembe Kuwatoa Ambokile,Singano

Tp Mazembe Kuwatoa Ambokile,Singano

by Sports Leo
0 comments

Taarifa kutoka DR Congo zinasema kuwa klabu ya TP Mazembe inampango wa kuwatoa kwa Mkopo wachezaji wao Raia Tanzania Mshambuliaji Hatari Eliud Ambokile Pamoja na Kiungo Hatari Ramadhani Singano Katika Dirisha lijalo la usajili.

Ambokile alijiunga na klabu ya TP Mazembe akitokea katika klabu ya Mbeya City Huku mwezake Ramadhani Singano alijiunga na wababe hao akitokea katika klabu ya Azam FC.

Mpaka sasa nyota hao wamekosa nafasi ya Kucheza katika kikosi cha Kwanza cha wababe hao wa DR Congo na haijafahamika kama timu za hapa nchini zimeonyesha nia ya kuwasajili mastaa hao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited