Home Soka Tshitshimbi Asaini Yanga

Tshitshimbi Asaini Yanga

by Sports Leo
0 comments

Kupitia mtandao wa instagram wa meneja wa kampuni ya GSM injinia Hersi Said inaonekana tayari kiungo Papy Tshitshimbi ameongeza mkataba wa kuichezea klabu ya Yanga.

Ingawa haijatangazwa rasmi lakini video hiyo inaonyesha tayari pande hizo mbili zimemalizana baada ya kuonyesha kuwa tayari amesaini na kuzima kelele za kuhitajika na klabu ya Simba sc pamoja na Azam fc.

Hivi karibuni klabu ya Yanga sc ilifanikiwa kumaliza tofauti zao na kampuni ya Gsm ambayo ilijitio kuisaidia klabu hiyo kwa masuala yaliyo nje ya mkataba,

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited