Home Soka Uchaguzi TFF Watua Mahakamani

Uchaguzi TFF Watua Mahakamani

by Sports Leo
0 comments

Mahakama Kuu ya Tanzania imesitisha Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) na kuwaita Rais wa TFF, Wallace Karia, Bodi ya Wadhamini & Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, kujibu hoja kwa nini uchaguzi huo usisimamishwe.

Wahusika hao Wametakiwa kufika mahakamani hapo leo asubuhi kujibu mashataka hayo na kama utetezi wao ukikosa mantiki mbele ya mahakama basi uchaguzi huo utasimamishwa.

Uchaguzi wa shirikisho la soka nchini uligumbikwa na malalamiko mengi kutoka kwa wagombea hasa baada ya kuwa na kipengele cha wadhamini ambacho wagombea wengi walishindwa kukidhi vigezo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited