Home Soka Uhuru Asajiliwa Fc Lupopo

Uhuru Asajiliwa Fc Lupopo

by Sports Leo
0 comments

Winga wa zamani wa Simba sc na Royal Eagle ya South Afrika Uhuru Selemani amejiunga na timu ya Fc lupopo inayoshiriki ligi kuu nchini Kongo baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili.

Uhuru aliyeichezea timu ya taifa ya Tanzania enzi za kocha Marcio Maximo aliondoka Simba sc na kujiunga na timu mbalimbali na kisha kutua Royal Eagle ya nchini Afrika kusini kabla ya kuachana na timu hiyo.

Winga huyo anaingia kwenye historia ya kuwa wachezaji wachache kutoka Tanzania kucheza katika ligi kuu nchini Kongo akiungana na Mbwana Samatta,Thomas Ulimwengu,Mussa Hassan Mgosi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited