Mtendaji Mkuu wa bodi ya ligi Almasi Kasongo amesema kuwa ukaguzi wa viwanja vyote vitakavyotumika na timu zitakazoshirirki ligi kuu bara utaanza rasmi Agosti 30 mwaka huu.
Ukaguzi huo ni masharti ya mkataba wa udhamini walioingia na Azam media kuhakikisha viwanja vinakuwa katika hali nzuri ligi itakapoanza.
Kwa mujibu wa mkataba waliosaini TFF,bodi ya ligi na Azam media timu zitakazokuwa zinatumia viwanja visivyoridhisha kwaajili ya urushaji wa matangazo ya televisheni vittahamishwa kuchezxa viwanja hivyo hadi vitakapofanyiwa maboresho,hivyo wamiliki wa viwanja na timu za nyumbani zinapaswa kuhakikisha ubora kuepuka kufungiwa kwa viwanja hivyo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.