Home Soka Ukaguzi viwanja TPL Agosti 30

Ukaguzi viwanja TPL Agosti 30

by Sports Leo
0 comments

Mtendaji Mkuu wa bodi ya ligi Almasi Kasongo amesema kuwa ukaguzi wa viwanja vyote vitakavyotumika na timu zitakazoshirirki ligi kuu bara utaanza rasmi Agosti 30 mwaka huu.

Ukaguzi huo ni masharti ya mkataba wa udhamini walioingia na Azam media kuhakikisha viwanja vinakuwa katika hali nzuri ligi itakapoanza.

Kwa mujibu wa mkataba waliosaini TFF,bodi ya ligi na Azam media timu zitakazokuwa zinatumia viwanja visivyoridhisha kwaajili ya urushaji wa matangazo ya televisheni vittahamishwa kuchezxa viwanja hivyo hadi vitakapofanyiwa maboresho,hivyo wamiliki wa viwanja na timu za nyumbani zinapaswa kuhakikisha ubora kuepuka kufungiwa kwa viwanja hivyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited