Home Soka Watatu Stars Kuwakosa Namibia

Watatu Stars Kuwakosa Namibia

by Sports Leo
0 comments

Wakati timu ya Taifa ya Tanzania leo itatupa karata yake ya pili katika michuano ya mataifa ya Afrika kwawachezaji wa ndani maarufu kama Chan kikosi hicho kitawakosa mastaa watatu kutokana na majeraha.

Mastaa hao ni John Boko,Erasto Nyoni na Ibrahim Ame ambao bado hali zao za afya hajizatengemaa kisawa sawa kiasi cha kuhimili mikiki mikiki ya michuano hiyo.

Tegemeo pekee katika mchezo huo ni ushindi ili kusubiri matokeo ya michezo inayofuatia kuona kama Stars  inaweza kupata nafasi baada ya kuruhusu kipigo cha mabao mawili kutoka kwa Zambia.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited