Site icon Sports Leo

Waziri Mkuu Apiga “Stop” Mazoezi

Il Presidente del Consiglio incaricato Prof. Giuseppe Conte,al termine dell'incontro con il Presidente Sergio Mattarella. (foto di Francesco Ammendola - Ufficio per la Stampa e la Comunicazione della Presidenza della Repubblica)

Waziri mkuu wa Italy Giuseppe Conte amekataza vilabu kurejea mazoezini na kusubiri angalau April 13 ili kuendelea kuchukua tahadhari kuhusu janga hili la mlipuko wa virusi vya Corona.

Ligi zote nchin Italia zilisimamishwa hadi ambapo tarehe rasmi itakapotolewa huku mechi pamoja na mazoezi yakisamamishwa ili kuepuka mkusanyiko wa watu kutokana na kusambaa kwa ugonjwa huo.

Lazio na Napoli tayari walikuwa wamewaruhusu wachezaji wao kurejea mazoezini na kabla ya yote vilabu hivyo vilipanga kuwapima kwanza wachezaji wao kabla ya mazoezi hayo kuanza.

Exit mobile version