Home Soka Yanga Kuwafuata Mwadui Ligi Kuu

Yanga Kuwafuata Mwadui Ligi Kuu

by Sports Leo
0 comments

Ratiba ya ligi kuu Tanzania bara inaonyesha kwamba ligi hiyo inatarajiwa kurejea mwezi huu tarehe 13 ambapo michezo mbalimbali inatarajiwa kuchezwa katika hatua za nyumbani na ugenini.

Klabu ya Yanga itaifuata timu ya Mwadui Fc katika mchezo utakaopigwa katika uwanja wa Kambarage jijini Shinyanga huku ikwa tayari imeshaanza mazoezi chini ya Bonifasi Mkwasa.

Klabu hiyo ambayo jana imesaini Rasmi mkataba kuelekea katika mfumo wa mabadaliko itasafiri kuelekea Shinyanga ikiwa na hatari ya kumkosa kocha mkuu Luc Eymael ambaye hajawasili mpaka sasa kufuatia kufungwa kwa baadhi ya viwanja vya ndege kudhibiti maambukizi ya Corona barani Ulaya.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited