Home Soka Yanga sc Wamvizia Kagere

Yanga sc Wamvizia Kagere

by Sports Leo
0 comments

Inadaiwa baada ya kuwa na sintofahamu katika kikosi cha Simba sc kuhusu hatma ya Meddie Kagere kufuatia kukosa nafasi katika kikosi cha kwanza cha klabu hiyo,klabu ya Yanga inamvizia endapo atashindwana na klabu yake.

Yanga sc inatatizo la ufungaji na inaona staa huyo kuwa ni dawa huku akiwa benchi mechi kadhaa katika klabu yake baada ya kocha Sven Vandebroek kuamua kutumia mshambuliaji mmoja John Boko hali ambayo haimfurahishi staa huyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited