Home Soka Yanga SC yamtambulisha Bangala

Yanga SC yamtambulisha Bangala

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya soka ya Yanga imemtambulisha beki kisiki raia wa Jmhuri ya Kidemokrasia ya Congo Yannick Bangala Litombo kukipiga Jangwani katika kambi yao huko Marakesh Morocco.

Bangala amesaini kandarasi ya miaka miwili kuwatumikia Wanachi na tayari amejiunga na wenzake kwenye maandalizi ya msimu nmpya yanayoendelea huko Morocco.

Beki huyo amewahi kuitumikia AS Vita ya Congo kama nahodha kabla ya kwenda FAR Rabat ya Morocco na amekuwa akiitwa mara kadhaa kuitumikia timu ya Taifa ya DRC.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited