Home Soka Yanga sc Yatangaza Zabuni Kigamboni

Yanga sc Yatangaza Zabuni Kigamboni

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga sc imetangaza tenda kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Hosteli pamoja na uwanja wa mazoezi Kigamboni jijini Dar es salaam.

Tenda imetangazwa kupitia mitandao ya kijamii ya klabu hiyo ambapo wahusika wa masuala ya ujenzi wanatakiwa kutuma maombi.

Klabu hiyo mnamo mwaka huu ilikabidhiwa viwanja na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aliyepita Paulo Makonda.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited