Home Soka Yanga Yaanza Mazoezi

Yanga Yaanza Mazoezi

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya soka ya Yanga sc imeanza mazoezi rasmi kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu Tanzania bara leo ambapo jumla ya wachezaji tisa wamehudhuria.

Mazoezi hayo yamefanyika katika chuo cha sheria jijini Dar es salaam ambapo wachezaji wapya wa ndani wamehudhuria huku wale wa kigeni wakikosekana akiwemo Haruna Niyonzima mwenye ruhusa maalumu.

Licha ya timu hiyo kutokua na kocha mazoezi yamesimamiwa na kocha wa viungo wa klabu hiyo Lord Bierdien pamoja na kocha wa fizikia.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited